sw.news

Francis Alitaka Barua Iliyopiga Marufuku Ekaristi Kwa Waprotestanti Kuwa "Siri"

Edward Pentin alidhibitisha ripoti kwamba Shirika la Mafundisho ya Imani limetupilia mbali pendekezo la Maaskofu Wajerumani kuwapa Waprotestanti Ekaristi [ingawaje hili ni jambo la kawaida nchini humo].
Aliyempa Pentin habari hizo aliongeza kuhusu suala hili, hakuna "tofauti" kati ya Askofu Mkuu Ladaria na mtangulizi wake Kadinali Gerhard Müller.
Pentin amegubdua kwamba "Papa anaitaka barua [inayopiga marufuku pendekezo hilo] ibaki kuwa siri kwa sababu zisizojulikana".
Picha: © European Parliament, CC BY-NC-ND, #newsNmaxqrapam

220
sw.cartoon

Sinodi La Amazon: Bikra Maria Alimwambia Mtakatifu Bridget Kwamba Papa Atakayetupilia Mbali useja, Ataenda Jahanamu.
Picha: © gloria.tv, CC BY-ND, #newsDgykwtpshg

127
oarielvillar

Familia Ingalls - T01 - Episodio Piloto Parte 2
Familia Ingalls - Temporada 1 - Episodio Piloto Parte 2

49:53
elfu 47
Videos para ver en Familia ameshirikisha hii

Para ver en familia

+54 2344476927 ameshirikisha hii

Me Encanta este capítulo.

ig.news

Ozo: Pope Francis juru igbu ikpere na ihu ihe di nso

Pope Francis mere nmenme Corpus Christi na basilica nke Saint John Lateran. Nke bu nke mbu yaka agbanwere nmenme sita n'ubochi Thursday gaa na Sunday. Na ozi ya, Pope Francis kporo oriri nso dika nri di nwayo kwesiri ina akpoghachi nmuo ulo.
O juru irube isi mgbe o na-agosi oriri nso a dika emere ya ka oha hu ya. Osoghikwa mee ngaghari ma omechiri ya na Santa Maria Maggiore, ozo kwa osekwughi n'iri chineke.
#newsTxatxpswnn

113

Papa anakufa, Maisha Marefu kwa Papa!

Papa anakufa, Maisha Marefu kwa Papa!
Katika hali ya kutokuwa na uhakika na huzuni, mwangaza wa mwisho wa maisha ya papa mmoja unaashiria uwasili wa haraka wa mwingine – kama alivyokumbuka Mtakatifu Yohani Paulo II katika nyakati zake za mwisho. Papa Bergoglio, ambaye amewekwa chini ya utawala unaoongozwa na kardinali wenye utata – baadhi yao kujitajia “antipapa” (Kardinali Martini) na wengine ambao wamekubali kuwa walikuwa wa kundi linalojulikana kama “mafya takatifu”, yaani Kikundi cha Sankt Gallen (Kardinali Danneels) – amekumbwa na hali mbaya kiasi kwamba uvumi kuhusu uwezekano wa kuaga kwake duniani umeanza kusambaa.
Wakati huo huo, Idara ya Mawasiliano ya Vatikani inaendelea kutoa taarifa zisizo kamili na zilizo na upendeleo. Je, lengo ni lipi? Labda ni kuwafanya waumini wabaki katika hali ya kutokuelewa, kulinda maslahi ya ndani, au tu kuhifadhi uhuru wa kuchukua hatua mbele ya uwezekano wa kuondoka kwa Bergoglio, labda kupitia kukatishwa kwa madarakani au kwa sababu ya …Zaidi

37
sw.news

Utawala Wa Roma: "Hatimaye, Wamemwondoa."

Papa Francis alimtoa Askofu Mkuu ambaye hupinga Ukomunisti Savio Hon Tai-Fai, katibu wa Shirika la Uhubiri wa Watu, ili kupisha maridhiano na utawala wa Ukomunisti wa Uchina, kulingana na Paul Huang; kama alivyoandika kwenye gazeti la Kichina The Epoch Times (Oktoba 7). Askofu Hon ni rafiki wa karibu wa Kadinali Joseph Zen ambaye alitoa maoni yake baada ya kung'atuliwa kwa Hon katika blogu lake, "Hatimaye, wamemwondoa!"
Picha: Savio Hon Tai-Fai, #newsLpyscvysay

139
sw.cartoon

Theluji kule Roma Mwisho wa Februari.
Picha: © gloria.tv, CC BY-ND, #newsIcgbsutrfr

145
oarielvillar

Familia Ingalls - T01 - Episodio Piloto Parte 1
Familia Ingalls - T01 - Episodio Piloto Parte 1

47:16
elfu 14
Videos para ver en Familia ameshirikisha hii

Para ver en familia

HP Y GC

Chapelet au Karmel

25:51
27
Guntherus de Thuringia

instagram.com/reel/DW5AYUrjByE/
David Icke

05:02
12
RAFAEL MEDINA MEDINA

Muujiza wa Ekaristi uliotokea wakati wa Misa iliyoadhimishwa na Askofu Claudio Gatti, huko Roma, Italia

Kurasa 6
117
sw.news

Papa Francis Atali

Jina la Taasisi ya Upapa ya John Paul II ya Masomo ya Ndoa na Familia ( Pontifical John Paul II Institute for Studies on Marriage and Family) iliyo nchini Roma, haitaendelea kuitwa jina la Papa aliyeianzisha, ila itaitwa "Taasisi ya Masomo Ya Familia" ( “Institute of Studies on the Family”). Pia, Taasisi hiyo itapoteza uhuru wake na kuunganishwa na Chuo Kikuu cha Upapa cha Lateran.
Kulingana na Sandro Magister hili litawezesha marekebisho katika bodi ya maprofesa, ambao kulingana na mwendo ulioko hivi sasa katika Vatikani, wana imani sana na John Paul II na ni wenye umakinifu mwingi katika masuala ya nakala ya Amoris Laetitia.
Taasisi hiyo ina matawi mengi kote duniani. Inasubiriwa kuonekana kitakachofanyikia matawi hayo.
#newsWqnarzkrgk

85
sw.cartoon

Kadinali Marx Alitoa Dokezo la Kubariki Ndoa Bandia za Mashoga "Hatua kwa Hatua"
Picha: © gloria.tv, CC BY-ND, #newsVrtmkgfnbg

76
carlos padila

NUEVA MISA CVII - MALACHI

159
Denis Efimov

Así es.

instagram.com/reel/DWvm20SDMsR/
David Icke

02:35
16
sw.news

Gänswein: Benedict wa Kumi na Sita Humwona Francis "Kama Mtu Ambaye Huimarisha Imani"

Askofu mkuu Georg Gänswein aliambia Roma Reports mnamo Juni tarehe 5, kuwa Benedict wa Kumi na Sita huwasiliana na Papa Francis mara kwa mara.
Aliongeza kuwa, " Papa Benedict huona katika Papa Francis mtu wa nyakati zake, shahidi wa kweli wa Bwana, ambaye hufanikiwa katika ujenzi wa Imani ya watu kwa ujasiri, hata kwa wakati mwingine kwa mbinu ambazo huenda zikachukuliwa kuwa zisizo za kitambo. Licha ya hayo, hii ni mbinu yake - na kila mtu ana yake - hii ni mbinu ya apa Francis, ambayo inayodhaminiwa sana na Papa Benedict."
Picha: Benedict XVI., © Mazur, www.thepapalvisit.org.uk, CC BY-NC , #newsAswkatfvrz

85
sw.cartoon

“Gaudete et Exsultate” Ya Francis Haina Chochote Ambacho Tayari Hajakisema Au Kukiandika.
Picha: © gloria.tv, CC BY-ND, #newsSqznercwtq

359