Pope Francis mere nmenme Corpus Christi na basilica nke Saint John Lateran. Nke bu nke mbu yaka agbanwere nmenme sita n'ubochi Thursday gaa na Sunday. Na ozi ya, Pope Francis kporo oriri nso dika nri di nwayo kwesiri ina akpoghachi nmuo ulo. O juru irube isi mgbe o na-agosi oriri nso a dika emere ya ka oha hu ya. Osoghikwa mee ngaghari ma omechiri ya na Santa Maria Maggiore, ozo kwa osekwughi n'iri chineke. #newsTxatxpswnn
Papa anakufa, Maisha Marefu kwa Papa! Katika hali ya kutokuwa na uhakika na huzuni, mwangaza wa mwisho wa maisha ya papa mmoja unaashiria uwasili wa haraka wa mwingine – kama alivyokumbuka Mtakatifu Yohani Paulo II katika nyakati zake za mwisho. Papa Bergoglio, ambaye amewekwa chini ya utawala unaoongozwa na kardinali wenye utata – baadhi yao kujitajia “antipapa” (Kardinali Martini) na wengine ambao wamekubali kuwa walikuwa wa kundi linalojulikana kama “mafya takatifu”, yaani Kikundi cha Sankt Gallen (Kardinali Danneels) – amekumbwa na hali mbaya kiasi kwamba uvumi kuhusu uwezekano wa kuaga kwake duniani umeanza kusambaa. Wakati huo huo, Idara ya Mawasiliano ya Vatikani inaendelea kutoa taarifa zisizo kamili na zilizo na upendeleo. Je, lengo ni lipi? Labda ni kuwafanya waumini wabaki katika hali ya kutokuelewa, kulinda maslahi ya ndani, au tu kuhifadhi uhuru wa kuchukua hatua mbele ya uwezekano wa kuondoka kwa Bergoglio, labda kupitia kukatishwa kwa madarakani au kwa sababu ya …Zaidi
Papa Francis alimtoa Askofu Mkuu ambaye hupinga Ukomunisti Savio Hon Tai-Fai, katibu wa Shirika la Uhubiri wa Watu, ili kupisha maridhiano na utawala wa Ukomunisti wa Uchina, kulingana na Paul Huang; kama alivyoandika kwenye gazeti la Kichina The Epoch Times (Oktoba 7). Askofu Hon ni rafiki wa karibu wa Kadinali Joseph Zen ambaye alitoa maoni yake baada ya kung'atuliwa kwa Hon katika blogu lake, "Hatimaye, wamemwondoa!" Picha: Savio Hon Tai-Fai, #newsLpyscvysay
Jina la Taasisi ya Upapa ya John Paul II ya Masomo ya Ndoa na Familia ( Pontifical John Paul II Institute for Studies on Marriage and Family) iliyo nchini Roma, haitaendelea kuitwa jina la Papa aliyeianzisha, ila itaitwa "Taasisi ya Masomo Ya Familia" ( “Institute of Studies on the Family”). Pia, Taasisi hiyo itapoteza uhuru wake na kuunganishwa na Chuo Kikuu cha Upapa cha Lateran. Kulingana na Sandro Magister hili litawezesha marekebisho katika bodi ya maprofesa, ambao kulingana na mwendo ulioko hivi sasa katika Vatikani, wana imani sana na John Paul II na ni wenye umakinifu mwingi katika masuala ya nakala ya Amoris Laetitia. Taasisi hiyo ina matawi mengi kote duniani. Inasubiriwa kuonekana kitakachofanyikia matawi hayo. #newsWqnarzkrgk